Watoto wote wana haki sawa, ikiwemo haki mojawapo ni haki ya kurithi mali za baba yao.
USIMAMIZI BORA WA MIRATHI KWA MAENDELEO YA FAMILIA
Uzoefu unaonesha kuwa, matatizo mengi hujitokeza katika familia au koo pale mtu anapofariki. Matatizo hayo hutokana na kutokujua taratibu za kusimamia na kugawamaliza marehemu kwa warithi wanaotambulika kisheria.
SHERIA YA MADHARA: MAELEZO NA UFAFANUZI
Madhara ni matokeo hasi yanayompata mtu au kitu au mali kutokana na kitendo kilichofanywa na mtu mwingine au kilichotokea kutokana na mtu Fulani kushindwa kutimiza wajibu na kutokana na madhara hayo mtu aliyepata madhara anastahili kupata fidia