Kwa mujibu wa ibara ya 24 ya katika ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wanawake wanayo haki ya kumiliki mali kama ilivyo kwa watu wengine. -Pia kifungu namba 56 cha sheria ya ndoa inatoa haki ya mwanamke kumiliki mali.
Kwa mujibu wa ibara ya 24 ya katika ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, wanawake wanayo haki ya kumiliki mali kama ilivyo kwa watu wengine. -Pia kifungu namba 56 cha sheria ya ndoa inatoa haki ya mwanamke kumiliki mali.